Project Hope     home >> stonecroft>>roho mtakatifu yuko wapi?>>la tano >> la sita (6)
Stonecroft - Roho Mtakatifu yuko wapi? - La Sita (#6)
Women's Empowerment  Program
Sports Bible Club
Living Water Bible Club

SOMO LA SITA (6)
KUFURAHIA UWEPO WA MUNGU

The Guide has her own Guidebook to help her lead and guide the lesson.

Download Swahili Lesson #6 Guidebook

Download Swahili Guidebook Bible Verses Lesson #6

LENGO LA SOMO
• Kujifunza Biblia inasema nini kiuhusu kuishi maisha ya kawaida ya Kikristo.
• Kurudia upekee na tabia za Mungu mwenyezi.
• Kuthibitisha furaha ya kujishusha mbele ya Mungu baba mwenyezi.

MAOMBI
Munu mwenyezi, ulivyo mkuu . asante kwa kwa ajili ya Yesu Kristo, ambaye anafunua upendo wako na wokovu mkuu kwetu. Asante kwa ajili ya Roho Mtakatifu ambaye yuko pamoja nasi kila mara. Katika jina la Yesu, AMEN

KUJISOMEA BIBLIA KWA JUMA

(Use your Bible or Africa Bible Verse Handbook)

Vifungu hivi vinaelezea sana kuhusu maisha ya mkristo.

Warumi 7:14-25
Warumi 8:1-17
Wakolosai 3:1-17
Warumi 12:1-8
Warumi 12:9-21
Warumi 15:1-13


MAONI YA KIONGOZI

Kati ya tabia ambayo mtu anaye mjua Mungu anayo ni kuwa yeye yuko tofauti kabisa na wale ambao hawamfahamu Mungu.

Sio Wakristo wote kuangalia Ukristo wao utawapima kwa kuptia tabia yao ambayo wanayo kama tulivyosoma katika wiki hii.Biblia inasema kuwa tabia ni kuwa inakuwa nzuri kwa sababu ya kuishi maisha ya Ukristo lakini ni kwa sababu ya uwepo war oho Mtakatifu na ndio maana tabia yetiu sisi kama Wakristo tabia yetu inakuwa ,iko nzuri sana.

Kila kitu katika maisha yetu kinaathiiriwa sana wakati ambapo tunakuwa na uwepo wa Mungu nadani ya maisha yetu.

1. Baada ya kusoma vile vifungu ndani ya Biblia ndan ya wiki. Andika aya kwa kuelezea, viwango vya kiBiblia kuhjusu maisha ya kawqaida ya mklristo. (Baada ya wanafunzi kuandika , wape nafasi ya kusoma majivu ,yao kila mtu peke yake).


Maisha ya kawaida ya mkristo, kulingana na kusoma Biblia, inakuwa kama vile haiwezekani kuyakabili. Hatuwezi kuyafikia sisi kama sisi, hata kama tutaishi kwa muda mrefu namna gani. Lakiini inawezekana kwa msaaada wa Roho Mtakatifu.

Wiki iliyopita tullijifunza kuhusiana na zawadi ambazo Mungu ametupatia. Kwa hiyo, swali linalolfuata lilikuwa ni rahisi sana kulijibu.


2. Kwa wale ambao Mungu amewapatia kwa kuwa wanamwamini yeye, kwa hiyo je wanaweza kuishi maiha ya kawaida ya Kikristo?........(Kukaa kwa Roho Mtakatifu ndani yao)

Tunatakiwa tujiulize sisi wenyewe kwa nini Mungu alitupatia Roho Mtakatifu. Kila tunalolifanya yeye Mungu alitupatia msaidizi wa kutusaidia. Kama tungeweza kuishi maisha ya utakatifu na uzuri kwa nguvu zetu wenyewe kusingekuwa na uwezekano wa kuwa na Roho Mtakatifu, na Mungu , asingeweza kumtuma Roho Mtakatifu kwetu.

3. Yesu aliweka bayana jinsi Roho Mtakatifu anavyoweza kukamilisha mambo ambayo hayawezekani , amabyo Mungu amepanga kwa ajili yetu kutufanyia au kuyafanya. Soma katika Yohana 15:1-8 na ujaze nafasi zilizoachwa wazi, na maneno uchague haya hapa.

Mimi...................... Kuba ki .....................Yesu ...................Mungu ....................Roho Mtakatifu

Mtunza bustani ni (Mungu)
Mzabibu ni (Yesu)
(Mimi) ni tawi.
Maisha yanayotokea kutoka kwenye mzabibu mpaka kwenye matawi yamekuwa yanapatikana kwa kupitia (Roho Mtakatifu).
Matawi hayawezi kujipigania na kujipatia nguvu peke yake. Yana kuwa na kutoa matunda kwa (kubaki) yakiwa yameshika na na mzabibu.

Tunabaia tukiwa tumejishika katika mzabibu kwa kuweka uhusiano wetu na Mungu ukiwa mzuri.

Tutabakia tukiwa tumeshikamana naye kwa kusoma neno lake yaani Biblia, kuomba, kusikiliza ulizi wake, na kutii mapenzi yake.

Pale tunapoendelea kuwa na ushirika nay eye, tunaendelea kuwa katika uwepo wake. Tunapo fanya kazi zetu za kila siku, tunajikuta tukia katika kusema naye kila mara kwa sababu njia ya mawasiliano imefunguliwa.

Tunapozidi kumwelewa Mungu kwa kupitia neno lake ndivyo ambavyo tutazidi kumwamini sana katika maisha yetu.tutakua kiima ni tunapoendelea kuwa karibu na neno la Mungu kwa sababu imani inakuja kwa kusikia neno la Mungu. Tunapofanya mazungumzo naye, ndivyo ufahamu wetu unavyokua na kuelewa mapenzi yake. Je tunazungumzaje na Mungu?..............(Mungu anaongea na sisi kwa kupitia Biblia, na tunaongea na Mungu kwa kupitia maombi).

Lengo mojawapo la kujifunza masomo haya ilikuwa ni kuanzisha muda wa mara kwa mara wa kusoma Biblia. Iwe kuwa ulikuwa unasoma mara kwa mara ndani ya wiki, kila siku, au siku moja kwa wiki, lakinilengo kjuu ,lilikuwa ni kuanzisha ratiba ya kila mara kusikiliza ambacho Mungu anataka kusema.

4. Tangu tumeanza mafundisho haya je umeanzisha ratiba yakila siku ya kusoma Biblia?

(Watie moyo wote ili waweke malengo ya namna yak us oma Biblia kila mara).

Kumsikiliza Mungu, mugu anazungumza na sisis kupitia neno lake, na kuwa na ushirika mzuri nay eye. Kama ambavyo imeunganishwa katika mzabibu ambapo ndio maisha ya matawi, maisha yetu ya kiRoho yako hai kwa kuwa tumeunganishwa na Yesu Kristo. Tunakuwa watu wasioweza kuzaa matunda hasa pale ambapo tunamzuia Roho Mtakatifu kuishi ndani yetu.

KUMZUIA ROHO MTAKATIFU

5. Je, tunamzuiaje Roho Mtakatifu.
Matendo 7:51…..
(Tunamkataa yeye kwa usumbufu wetu na kutokuweza kumsikiliza yeye.)

1 Wathethalonike 5:19-20……
(Tukataa ujumbe wake anaoutuma kwetu.)

Isaya 63:10……
(Tunamuudhi kwa kuwa hatutambui uangalizi wake kwetu sisi.)

Matendo 5:3……
(Tunaweza kumwongopea yeye.)



Sasa tunaweza tukajifunza kuwa tunatakiwa kutokumzuia Roho Mtakatifu katika kuja kwake kusema na sisis kwa akutii kile anachotaka tukifanye, na kuendelea kuishi katika ushirika nay eye.

Mara nyingine woga wetu, unamfanya Roho wwa Mungu kuwa mbali na sisi. Na mashaka pia hufanya kutokusikia kile ambacho Mungu anataka kukifanya kwa ajili yetu na kushindwa kusikia sauti ya munngu.

6. Unapofanya maamiuzi, je unawezaje kujua kuwa wakati gani ambao Mungu ana kuongoza wewe? Oanisha sentensi zifuatazo na mstari unaoendana na sentesi husika.

a. Dhamiri yako haikuhukumu wewe.
b. Neno la Mungu linathibitisha maamuzi yako.
c. Mambo ambayo yako nje ya uwezo wako yathibitishe.
d. Je una amani ndani ya moyo wako.

(d) Wafilipi 4:6-7……
(a) Warumi 2:15……
(c) 1 Samweli 10:7……
(b) 2 Timotheo 3:16……

Rejea-angalia mambo mamnne katika maisha yako ambayo yanathibitisha kuwa Roho mtakatifu anakusaidia katika maamuzi yako,tunaamani katika mioyo yetu,je unatii neno,dhamira zetu zinakubari,na matukio huthibitisha hilo.

7. Unapokuwa mkristo, maisha yako yanakuwa yameongezeka na utambulisho wako mpya.jitambulishhe utambulisho wako mpya kwa maneno yako wewe mwenyewe na ina maana gani kubwa sana kwako katika maisha yako.


Mstari .
Utambulissho wangu mpya

Jinsi ya kutumia ndani ya maisha yangu

1 Yohana 3:1……
Mimi ni mwana wa Mungu

Nitaonesha kupitia utakatifu wangu.

Yohana 15:15…..
Mimi ni rafiki wa Mungu

Nitatumia muda wangu kuwa na wewe

Wafilipi 3:20-21….
Mimi ni raia wa mbinguni

Nitaishi milele mbinguni

Waefeso 3:12….
Mimi niko katika umoja na kristo

Nina ruhusa ya kumwendea Mungu.

1 Wakorintho 6:19-20…. Mimi ni hekalu la Mungu.

Sitaacha kujisifia mwenyewe, lakini nitajipeleka kwa Mungu mimi mwenyewe ili anitumie atakavyo.

Baada ya majibu yao,muda ukiruhusu,unaweza ukahitimisha majibu yao kwa kusoma maeneo mawiri.

VITA YA KIROHO

Tuna kila kitu kinachompendezesha Mungu na kinachotuopendezehs sisi. Tunaona ushindi katika maeneo Fulani Fulani hivi katika maisha yetu na viata katika m aeneo mengine.


8. a. Maisha ya mkristo ni matatizo. Kuna ushindani mkubwa kati ya kushindwa na mafanikio. Rekodi kati ya maeneo ambayo una migogoro nayo au maeneo ambayo una migogoro nayo hata sasa……

b. Mungu ameshaandaa njia ya kutokea kwa matatizo ambayo tunayo kati ya mapenzi yetu na mapenzi ya Mungu mwenyewe. Soma katika Waefeso 6:10-18…… Unampango gani wa kutumia mistari hii ndani ya maisha yako?....


Je unaweza ukavaa zana za kivita iwapo unaenda kulala ? Je tunahitaji zana za kivita za kiroho iwapo hutaki kuingia katika vita vya kiroho .lakini kwwakuwa hatujui ni wakati upi vita na mashambulizi yanatokea basi unapaswa kuwa makini.

9. hatupigani vita ya kiRoho kwa nguvu zetu wenyewe. Mistari ifuatayo inatufundisha ni jinsi gani ya kupata ushindi katika vita ya kiroho. Oanisha na mistari inayoendana.

a. Vaa silaha zote.
b. Usialike jaribu lolote lile.
c. Mfanye shetani akimbie.
d. Angalieni, kuweni thabiti katika ,imani yenu, Mungu ,atakuzawadia wewe.

(c ) Yakobo 4:7-8
(d) 1 Petro 5:8-10
(a) Waefeso 6:13
(b) Waefeso 4:22-27

10. Kwa nhyongeza katika kanuni za vita ya kiroho, Mungu a,etupatia sisi silaha za kutumia katika vita. Soma katika 2 Wakorintho 10:3-5……

Ainisha kila silaha katika mistari ifuatayo ya Biblia:

2 Wakoritho 6:7…….. (Utakatifu)
Waefeso 6:17……… (Neno la Mungu)
Zaburi 50:15……… (Maombi)

Maombi ni silaha moja wapo ambayo ni ya muhimusana kwetu. Tunapoomba Mungu anatusaidia. Maombi nji muhimu hata katika kukamilisha kazi aliyotupatia Mungu. Kukataa maombi kunaleta kushindwa.

Tuna jua kabisa kuwa tupo katika upande wa ushindi, tukiwa na ushirika mzuri na Yesu Kristo. Soma katika 1 Yohana 4:4…….

Tunapoisi maisha ya kumtii Mungu, na kukaa katika uwepo wake, maisha ni matukio.hatujui nini kinatoke baadae. Mungu ana uwezo wa kuwapa watoto wake Baraka a mbazo hawatarajii. Mungu anaanza na kile kinachomalizika, anafanya makusudi kutucheelweshea vuitu vingine ni kwa sababu ili tumjue yeye vyema zaidi

11. Fikiria au kumbuka jinsi maisha yalivyo badilika tangu uliitwa mkristo.

a. Katika 2 Petro 3:18 inawaambia nini Wakristo kitu cha kufanya?......
(Endelea kukua katika neema na maarifa ya Mungu)

b. Je tabia imebadirika ,kwa kiasi gani tangu umeanza kusoma kuhusu Roho Mtakatifu?

12. Andika maombi ya kumsifu Mungu kwa kile a lichokizalisha ndani ya maisha yako. Muombe Mungu kuendelea kukua katika maeneo ambayo unafikiri yanahitaji maendeleo zaidi.

Kuna furaha kubwa sana ,ya kumjua Mungu. Kuna msamaha na wokovu katika kumfahamu Yesu, amabye anatupa amani. Kuna ushindi na furaha katika kuisi katika kutii Roho wa Mungu, amaye kazi yake ni kuendelea kutusaidia sisi kama Yesu.
Soma katika Wagalatia 5:16……

Tumesoma kuhusu ukamilifu na utakatifu wa Mungu, na inawezekana kabisa kujua haya mambo am bayo ni kuwa yana nguvu sana kwa kumwelezea Mungu.tunaposhindwa kumjua Mungu zaidi na kiundani tunavyosoma, kweli yote kubwa haiwezi kuathiri maisha yetu ya kila siku.

Tunapobaki katika umolja nay eye, kuwa na Yesu ndani ya maisha yetu kutafanya utofauti katika kila sehemu katika maisha yetu. Hatuwezi kuwa vile vile kama tulivyokuwa a wali.

Atakuwa ni sehemu yetu katika maisha yetu, na tutamwelewa zaidi kuhusu yeye zaidi ya tunavyomjua kwa sasa.

Tunapomwamini Mungu, kubaki ndani yake, na kumtii yeye tutajishusha kwake, na mapenzi yake hayatakwisha kwetu sisi kuhusu yeye.

“nawe mpende Bwana Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa Roho yako yote na kwa nguvu zako zote”
Kumbu kumbu la torati 6:5.

Mungu anataka upendo wetu wote wwa kutoka moyoni.

MAOMBI

Baba yetu uliye juu mbinguni, asante kwa wema wako, mpaka sasa tunataka kufanana na mwanao Yesu Kristo,asante Mungu uliyejuu mbinguni kwa kuwa wewe baba hukati tama na sisi, lakini umetupatia Roho wako Mtakatifu ili kutulinda na kutuongoza sisi. Endelea Mungu wangu kutufanya kuwa karibu nawe, hata baada ya mafunzo haya kuisha. Katika jina la Yesu, AMEN

 

 
 

 

This is a translation of 'Who is the Holy Spirit?' Stonecroft's Guide Book Lesson #6 in Swahili, the English version of Who is the Holy Spirit? is available online from Stonecroft's website.

This transforming study will reveal who Jesus is, what He does, and what life is like when He lives within you. Learn what the Holy Spirit does in the life of a Christian and how He can help you grow to be more like Christ. (6 lessons)

The Guide has her own Guidebook to help her lead and guide the lesson.

Download Swahili Lesson #6 Guidebook

Download Swahili Guidebook Bible Verses Lesson #6

Download Swahili Lesson #6 Student Study Book

 
 
Copyright ©  2023 www.UnitedCaribbean.com. All rights reserved. Disclaimer Click to Contact us