Project Hope     home >>vijana wa stonecroft>> maelezo ya imani ya stonecroft>> masomo ya bibla ya stonecroft
MASOMO YA BIBLIA YA STONECROFT:
Women's Empowerment  Program
Sports Bible Club
Living Water Bible Club


Karibu katika masomo ya kibiblia ya Stonecroft, tunajitahidi kumpatia kila mmoja neno la Mungu haijalishi ana kiwango gani katika safari hii ya Kiroho.
Ni maombi yetu kuwa masomo haya yatatoa fursa kwako ili upate kuwezeshwa na neno la Mungu ili uweze kuifikia jamii yako na injili ya Yesu Kristo.

MTAZAMO:
Masomo ya biblia ya stonecroft yaliandaliwa kwa msingi wa kufuatilia mikutano ya kuwafikia wasio fikiwa, lakini kwa sasa masomo haya yamekuwa mpaka kuwafikiwa magerezani na makanisani, maofisini, na maeneo mengine.

SIFA MUHIMU:
Masomo ya biblia ya Stonecroft yameandaliwa ili kufanya uinjilisti na uanafunzi, na injili hii imejumuishwa maeneo yote ambayo Stonecroft inafanya kazi.

Kila somo limeandaliwa maalum kabisa ili wale ambao hawamjui Mungu nao wapate kushiriki,kwa bahati mbaya wanawake wa Africa sio wote walio na biblia na ndio maan kulasa za biblia zimetolewa na kuacha vipengele vya biblia tu ili kuwawezesha nao kushiriki vizuri.na hii imeandaliwa katika mpangilio maalum wa kimatukio.

Stonecroft Bible Studies are held in homes, workplaces, churches, schools and even outdoors in places like Africa under the shade of a Tropical tree.

It is our aim in the 'Living Water Bible Club', the outreach arm of a 'Drop of Hope', to demonstrate the love of God by helping communities acquire desperately needed clean water, and experience 'living water'-the gospel of Jesus Christ-which alone satisfies the deepest thirst.

 
 

Embedded Microsoft Office presentation, powered by Office.

Hiari: Pakua 'Tone la Matumaini - Mradi wa Shule'' Swahili PowerPoint

'Living Water Bible Club' will be located in our 'Drop of Hope School Project' located outside of schools, churches and our Africa Goshen Agro Glamping Resorts.

Masomo haya yameandaliwa katika, kufundisha juu ya kichwa furani cha somo lakini hata hivyo masomo yanayo husu vitabu vya biblia yanapatikana katika hatua ya juu.

Masomo ya biblia ya Stonecroft ni rahisi kujisomea katika makundi madogo na hata makundi makubwa, na masomo haya yanaanzia (4-14 masomo).na utatu masomo 6 kwa hiyo kitabu kimoja kna masomo 18.

Masomo mengi yanakuwa na kitabu cha mwongozo wa masomo, kitabu hiki hutumika pamoja na biblia na kila anae shiriki masomo haya
Majadiliano ni njia mojawapo katika ukuaji wa kiroho.

USHAURI WA KUJISOMEA:
Katika maeneo mengi ya Stonecroft washiriki hutumia kitabu cha mwongozo na biblia ya Kiswahili, ambayo hupatikana madukani, lakini kama nilivyosema kitabu cha mkononi cha biblia kinapatikana kwa wale wasio na biblia.

Vikundi hivi vya kujisomea hukutana mara moja kwa wiki, kwa dakika 60-90 .kama dakika ni chache kundi wanaweza kuamua kugawa masomo haya nusu, kwa kugawana maswali na kusoma andiko.ili kutanua kazi ya uanafunzi tunashauri kuwa vikundi lazima vitafute njia za kuongeza washiliki ili ufanisi wake uonekane katika jamii.

MAELEZO YA MASOMO:
Kuna aina tatu za masomo ya biblia ya Stonecroft:
•Masomo ya Utangulizi wa utatu.
• Masomo ya wakristo wanao kuwa.
• Na masomo yahusuyo vichwa vya somo.

Stonecroft waanze na somo la Utangulizi, ambalo linasema “Yesu ni nani” Mungu yukoje?’ na Je Roho mtakatifu yuko wapi.haya ni masomo muhimu sana kwa wakristo wapya na hata wale wa zamani maana ni muhimu hata kwa wale wanao taka majibu ya maswali yao. Haya masomo yote yamekwisha tafsiliwa Kiswahili na kazi bado inaendela ya kutafsiri huko Congo na Malawi pia.

KANUNI NA SHERIA ZA MASOMO YA KIBIBLIA YA STONECROFT
Huduma ya Stonecroft imejiwekea kanuni kwa jili ya masomo yake ya kibiblia, ni muhimu kwa mtu yeyote anae hudumu katika huduma hii ya Stonecroft afuate hizosheria na kanuni
Injili ya Yesu ambayo imeandikwa katika kila somo la Stonecroft ni muhimu kuwa ihunbiriwe kwa uhakika na umakini mkubwa.

Huduma ya Stonecroft hawana msimamo mwingine wa imani, au msimamo wa kisiasa nje ya maelezo yao ya imani.

Wote ambao wanajihusisha na Stonecroft watafanya haya yafuatayo:
• Kukubariana na msingi wa imani ya huduma ya Stonecroft.
• Kutenda kazi kwa ushiriano na kanisa lako.
• Kila neno litakalo nenwa katika mjadala au mazungumzo wakati wa masomo huo sio msiomamo wetu kama huduma ya Stonecroft.

Katika kujisomea haya masomo ya biblia ya Stonecroft, ni muhimu wahusika wote wakatumia vitabu ambavyo vimethibitishwa na Sonecroft, katika somo la utangulizi inashauliwa kuwa wahusika wote watumie aina moja ya biblia ya Kiswahili.

Watu wote ambao watakuwa wanaisimamia au kuongoza haya masomo ya kibiblia ya Stonecroft ni lazima watume maombi,waongozaji na wakufunzi hufundishwa na kiongozi wa eneo husika, video ya masomo hayo imekwisha andaliwa na Stonecroft Barbados ili kuwezesha kuwafunza wale watu ambao wako Tanzania, Malawi, Uganda na nchi nyingine za Kiafrica,hii video ya dakika 15 itarecodiwa kwa Kiswahili na lugha nyingine za kiafrika, hii yote ni katika kuhakikisha kuwa tunawafunza wale ambao watakuwa viongozi, ukiambatanisha na Mwongozo hii itawapa uwezo mkubwa katika huduma.

MKAKATI WA MWONGOZO WA KUFUNZA:

 
 
Copyright ©  2023 www.UnitedCaribbean.com. All rights reserved. Disclaimer Click to Contact us