Project Hope     home >>vijana wa stonecroft>> yesu ni nani? >> somo 5 >> somo 6
Yesu ni nani? - Somo #6
Women's Empowerment  Program
Sports Bible Club
Living Water Bible Club

JE NITAMWONA YESU TENA?

Download Swahili Lesson #6 Student Study Book

Download Swahili Lesson #6 Bible Verses Handbook

Maombi

Baba yangu uliye mbinguni, asante kwa kunifundisha sana kuhusu yesu. Ninataka kujifunza zaidi kutoka kitabu chako kitakatifu ninapoendelea kusoma somo hili. Nataka nijue kama nitakuja kumwona yesu. Katika jina la Yesu nikiimba, AMEN……
Kujisomea Biblia Kwa Juma

Soma vifungu vifuatavyo vya Biblia na uandike mawazo uliyoyapata kutoka katika kila kifungu ulicho kisoma.

Yohana 1:14-18
_____________________________________________________

Yohana 14:1-11
_____________________________________________________

1 Yohana 5:10-12
_____________________________________________________

Mathayo 16:24-27
_____________________________________________________

Wafilipi 2:5-11
_____________________________________________________

1 Wathethalonike 4:15-18
_____________________________________________________

Yohana 5:24-29
_____________________________________________________

1. a. Yesu Kristo ni nani kwako?
_____________________________________________________

b. Yesu alisema ni ipi ambayo ni amri kuu? Mathayo 22:36-40
_____________________________________________________

c. Jesus did many important things when He was on earth. His most important work was also the reason He came. What was that? Mark 10: 45
_____________________________________________________

2. Jaza nafasi zilizoachwa wazi. Chagua maneno haya kuweza kujaza nafasi hizo:

Mbadala/badala
taifa
haiwezekani
kufa
kutenganishwa/tenganishwa
kifo
mataifa
takatifu
kutokuwa na dhambi
mwili
kuzalia katika ubikira
arobaini (40)
Mungu
kuzikwa
kulipwa
kudhibiti
msamaha
ndani
tatu
msalaba
mwanakondoo
dhambi

Adhabu ………ilitangazwa kwa watu wote waliotenda dhambi ilikua……. Hapo mwanzo, mungu alisema wasio na hatia……. Wangekufa katika eneo la watenda dhambi. Alikuwa na watu ambao walitoa dhabihu takatifu ya wanyama hasa…… pale walipotaka kusamehewa dhambi zao na mungu. Damu ya kondoo waliyokuwa wanaitoa haikuweza kutoa …………. Hii ilikua na alama ya sadaka kamilifu amabayo mungu alikua anatoka. Hii ilizuia dhambi zao mpaka pale Yesu alipokuja duniani na ………. Kwa ajili ya dhambi ya ulimwengu mzima.

Pia ili kufa ilitakiwa kuwe awe na………… kwa sababu alikuwa ni mungu na ilikua…….. kw amungu kufa, kwa hiyo alichaguliwa na aliandaliwa…………….ambapo aliandaa mwili wake mwenyewe. Yeye….. wao kutoka kwa wengine…….ya ulimwengu na aliwapa sharia za kufuata kwa……………kuishi.

Muda ulipowadia, kulingana na mpango wake alikuja ulimwenguni kama myahudi…….. mtoto, aliishi……maisha na alikufa pale………………kwa sababu ya dhambi zetu zote. Alikua………….lakini baada ya siku ya……………..alifufuka kutoka kwa wafu; na kujidhihirisha yeye mwanyewe kuwa anaishi. Baada ya kuonwa na watu wengi kwa siku………., akapaa na kurudi tena mbinguni.

Deni la dhambi………………kabisa, sehemu yetu ni kupokea………….ya mungu na zawadi ya kumkubali Yesu kristo, kwani baada ya kufa msalabani alilipa deni tulilokuwa tunadaiwa tangu zamani. Tunarudisha……...ya maisha yetu juu yamungu.
Imani inadhihirisha tabia

3. Yesu atakapo rudi tena ni nani ambaye ataweza kumuona kwa kwa kipindi hicho?
Ufunuo 1:7
_____________________________________________________

4. Biblia inasema kutakuwa na muda wa mateso makali sana duniani, soma vifungu vitatu vifuatavyo kwamba nini kitatokea kabla Yesu hajarudi tena kwa mara ya pili na uandike kitu cah muhimu baada ya kusoma vifungu hivi vya Biblia ambacho ni cha kuvutia sana.

a. Mathayo 24:21-31
_____________________________________________________

b. Marko 13:32-37
_____________________________________________________

c. Luka 21:25-28, 34-36
_____________________________________________________

5. Kwa kuwa hakuna anaye jua kuwa Yesu atarudi lini, tunaweza tukafa hata kabla hajaja. Nini kinatokea tunapokufa? Ebrania 9:27
_____________________________________________________

6. Kwa maneno yako mwenyewe, elezea kuhusu hukumu itakayokuja kutakana na mistari ifuatayo ya Biblia.
a. 2 Korintho 5:10
_____________________________________________________

b. Matendo 17:30-31
_____________________________________________________

c. Ufunuo 20:11-15
_____________________________________________________

Watu wanavyosema kuhusu kuokolea, wanazungumzia sana kuhusu kuokolewa katika adhabu ya bile ile ya kutupwa katika ziwa la moto.

Tukisoma kile ambacho mungu alisema katika hukumu yake takatifu, tunakuja kugundua kuwa kumkubali Yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yako kunaepusha adhabu ile ambayo ulipangiwa au tuliyokuwa tumepangiwa. Tunatakiwa sisi wenyewe kujitoa kikamilifu mbele za mungu. Mioyo yetu inatakkiwa iendelee kumsifu yeye kwa wokovu wake kwetu.

Mungu hapendi kuona watu wake wanaenda jehanamu, aliweka jehanamu kwa ajili ya shetani na malaika zake aliodondika nao toka mbinguni walipo asi na si kwa ajili ya watu (Mathayo 25:41). Watu wao wana uhuru wa kuchagua kumtumikia shetani au kumtumikia mungu.

Ishi na mtazamo, yakinifu wa milele!

7. a. Ni kwa kiasi gani mambo uliyosoma kutoka katika masomo haya yanakuathiri maisha myako ya ila siku? 2 Wakorintho 7:1
_____________________________________________________

b. Kivipi mtazamo wako juu ya kumiliki vitu na vile ambavyo unafikili kumiliki ukaja kubadilika ? Mathayo 6:19-21
_____________________________________________________

c.Kivipi kuhusiana na ukweli kwamba Roho Mtakatifu anaishi ndani ya waamini inaathiri mitazamo yao kuhusiana na ugumu na kukatishwa tama? Yakobo 1:2-4
_____________________________________________________

d. Ni jinsi gani ufahamu wa mungu juu ya kuleta mwokovu unaathiri maisha ya wanadamu na jinsi ya kushirikiana na watu wengine? 2Timotheo 4:1-5.
_____________________________________________________

e. Ni jinsi gani 1 Korintho 15:58, unavyowatia wakristo moyo ili wawe wakristo hai na wenye kutenda kazi?
_____________________________________________________

8. Unaposoma neno la mungu huwa linabadilisha maisha. Ni jinsi gani katika kusoma kwako masomo haya yameweza kubadilisha maisha yako?
_____________________________________________________

9. Andika maombia yako hapa ya kumshukuru mungu kwa kumtuma mwanawe Yesu kristo. Tutakapo kuwa tunaendelea katika na mijadala mbalimbali, utakuwa na muda mzuri wa kuweza kutushirikisha maombi yako. Andika hapa maombi yako.
_____________________________________________________

Maombi
Heavenly Father, thank You for coming to earth to take the punishment for our sins. Thank You for being willing to come into our lives. Thanks You for the promise that You will never leave us alone! Help us surrender our lives to Your control. Finish what you have started in each of our lives. We pray in Jesus’ name. Amen.

______________________________________________

 
 

This is a translation of Who is Jesus? Stonecroft's Students Study Book Lesson #6 the English version of Who is Jesus? is available online from their website.

Download Lesson #6 Student Study Book

Download Lesson #6 Bible Verses Handbook

The Guide has her own Guidebook to help her lead and guide the lesson.

Lesson #6 Swahili Guidebook (To be translated)

Download Swahili Guidebook Bible Verses Lesson #6

YESY NI NANI?

 
 
Copyright ©  2023 www.UnitedCaribbean.com. All rights reserved. Disclaimer Click to Contact us