Project Hope     home >>vijana wa stonecroft>> yesu ni nani? >> somo 3 >> somo 4
Yesu ni nani? - Somo #4
Women's Empowerment  Program
Sports Bible Club
Living Water Bible Club

KWA NINI YESU ALIKUJA?

Download Swahili Lesson #4 Student Study Book

Download Swahili Lesson #4 Bible Verses Handbook

Maombi
Ewe baba uliye juu mbinguni, asante kwa yote uliyonifundisha kuhusu mwana wako, Yesu Kristo. Nataka nijuae kwa nini alikuja hapa duniani. Naomba baba unifundishe tena kutoka katika neno lako, ninaomba katika jina la Yesu Kristo AMEN…

Kujisomea Biblia Kwa Juma
Soma vifungu vifuatavyo vya biblia na uandike kwa maneno yako vinasema nini kuhusu kwa nini Yesu alikuja duniani.

Mathayo 5:1-2, 17-20
_____________________________________________________

Yohana 6:35-38
_____________________________________________________

Matendo 2:23-24
_____________________________________________________

1 Yohana 3:5-6
_____________________________________________________

Waebrania 2:14-15
_____________________________________________________

Ufunuo 3:20-21
_____________________________________________________

Ufunuo 5:9-10
_____________________________________________________

1. Kwa nini Yesu alikuja hapa duniani? Vifungu vifuatavyo vinatoa sababu kwa nini Yesu alikuja duniani.

a. Mathayo 5:17
_____________________________________________________

b. Yohana 1:18
_____________________________________________________

c. Mathayo 20:28
_____________________________________________________

d. Luka 4:42-43
_____________________________________________________

e. Luka 19:10
_____________________________________________________

f. Yohana 3:17
_____________________________________________________

g. Yohana 10:7-10
_____________________________________________________

h. 1 Timotheo 1:15
_____________________________________________________

Kwa sababu wote wamefanya dhambi,
na kupungukiwa na utukufu wa Mungu.
Warumi 3:23

Adhabu ya dhambi ilitangazwa na Mungu mwenyewe kwa adamu. Adhabu hiyo ilikuwa ni ya kiroho na kimwili pia ambapo mauti ndipo ilipoanza kuupata ulimwengu. Katika Mwanzo 2:17 inasema hivi”walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.”

“Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti;
bali arama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu”
Warumi 6:23

Yesu ni mbadala wetu

Kupitia agano la kale, Mungu alikuwa anajifunua kwa kusema mtu mwema, ambaye sio mtenda dhambi, mbadala atakufa kwa ajili ya dhambi za watu wengine. Lakini tumesoma katika Warumi 3:23 ambayo inasema wote wametenda dhambi.Kwa hiyo hakuna mtu aliyekuwa hajatenda dhambi isipokuwa Yesu Kristo pekee.

“Yeye asiyejua dhambi…”
2 wakorintho 5:21

2. Yesu mwenyewe alisema atakufa na atafufuka tena na kuishi. Yeyeyote aliyeamini aliambiwa. Je Yesu aliwaambia nini katika vitabu vifuatavyo vya mrejeo?

a. Luka 18:31-33
_____________________________________________________

b. Mathayo 12:38-40
_____________________________________________________

c. Marko 8:31-32a
_____________________________________________________

3. Maadui waliokuwa wanamwandama Yesu je walimkuta ana hatia yeyote ile ya dhambi? Luka 23:4
_____________________________________________________

4. Yesu hakuwa na dhambi yeyote ile na hakuvunja sharia yeyote ile, kwa nini alihukumiwa mpaka kufa? Marko 14:61-64
_____________________________________________________

Yesu yeye alijua kabisa kuwa haya yote yatakuja kutokea, hata kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu, alikuwa amesha jiandaa kuja kufa duniani kwa niamba ya mwanadamu. Na hii ilikuwa ni njia pekee tu ya mwanadamu kukombolewa kutoka dhambini. Yesu alijua kabisa kuwa mateso ambayo mwanadamu angeyapata bila ukombozi wowote ule yangekuwa makali mno.

5. Soma kitabu cha Marko ukimalize na uone jinsi alivyokamatwa, alivyokufa na mazishi yake Yesu Kristo. Marko 14:43-15:47.

Hii imeelezwa karibu katika vitabu vyote vine vya injili.Kila mwandishi amesisitiza vitu tofauti tofauti. Tunasoma ya kwamba kulikuwa na majaribio mengi kwa sababu ilikuwa ni ngumu sana katika kumpata Yesu na ubaya alioufanya. Na pia tunasoma vitu vingine amabvyo Yesu alivisema akiwa msalabani.

Mathayo yeye aliandika viu ambavyo wayahudi walipenda wavisikie (Mathayo 27:27-28:15). Aliripoti kuhusu serikali kutuma wanajeshi kuchukuwa mhuri na kwenda kulinda kaburi. MMathayo anatuambia kuhusu na wale askari kilichowatokea walipokuwa wanalinda kaburi la Yesu wakati Yesu anafufuka.

Yohana yeye anazungumzia sana wale watu ambao waliongea na Yesu baada ya kufufuka kwake (Yohana 19:16-21:25).

Luka yeye alindika vitabu viwili, injili ya Luka na kitabu cha Matendo . Katika vitabu vyote (Luka 23:26-24:52 na Matendo 1:1-11), aliandika jinsi Yesu alivyo paa kwenda mbinguni siku 40 baada ya kufufuka kwake.

6. Biblia inatufundisha kuwa Yesu alikuja duniani ili afe kwa ajili yetu na dhambi zetu. Kwa kuwa Yesu alikufa kwa ajili yako, je mwitikio wako kwake utakuwaje?
_____________________________________________________

7. Kariri Matendo 4:12.
Andika Matendo 4:12 hapa.
_____________________________________________________

8. Hebu mshukuru Mungu sana kwamba anakupenda na alikufa msalabani ili wewe uondokane na dhambi. Andika maombi yako hapa.

Maombi
We thank You, Father in Heaven, for the great salvation You have provided for us. Thank You for Your unchanging love for us as individuals. Help us apply to our lives all that we have learned. We ask in the name of Jesus Christ, Amen.

_____________________________________________

 
 

This is a translation of Who is Jesus? Stonecroft's Students Study Book Lesson #4 the English version of Who is Jesus? is available online from their website.

Download Swahili Lesson #4 Student Study Book

Download Swahili Lesson #4 Bible Verses Handbook

The Guide has her own Guidebook to help her lead and guide the lesson.

Lesson #4 Swahili Guidebook (To be translated)

Download Swahili Guidebook Bible Verses Lesson #4

YESY NI NANI?

 
 
Copyright ©  2023 www.UnitedCaribbean.com. All rights reserved. Disclaimer Click to Contact us