Project Hope     home >> stonecroft>> je mungu yokoje? >> somo 1
Je Mungu yokoje? - Somo #1
Women's Empowerment  Program
Sports Bible Club
Living Water Bible Club
Mungu ni
Mungu amekuwapo mara zote na
atakuwepo mara zote uwepo wake na umilele
wake ni imara sana na unadhihilishwa katika neno MUNGU.

Mwezezi Mungu, mara zote yeye ni Mungu,
ajuae mambo yote, na yupo hapa,
na atakuwepo hapa mara zote amaana Mungu ni

‘’Lakini Pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu,
maana mtu amwendea Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko,
Na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao”

Waebrania 11:6

Mungu ni muumba

Download Swahili ‘What is God like’ Introduction

Download Swahili Full Lesson #1

Download Swahili Study Book Front and Back cover

Download Swahili Lesson #1 Student Study book page 1-2

Download Swahili Lesson #1 Student Study book page 3-4

1 Waebrania 11:6 Ni neno gani linatumika kuelezea kuwa MUngu ni nani?

Mungu ni Muumba

Kabala ya muda hauja anza.hakukuwa kitu ila Mungu litawala katika utukufu wake, dunia haikuwepo, hakukuwa hua,hakukuwa mwezi, na hata nyota,hakukuwapo kitu, lakini baada ya Mungu kuongea vitu vikaanza kujitokeza, alitengeneza vitu kutoka katika visivyoonekana, Mungu ni muumbaji wa kila kitu.

2. Soma vifungu vifuatavyo elezea ukweli unaoelezwa katika vufungu hivyo kwa maelezo yako

Nehemia 9:6
Wakolosai 1:15-16

Ukweli unao elezwa katika maeneo haya ni.

Mungu ni wa milele

Maneno mawili yanatuambia kuwa Mungu ni wa milele, neno milele ni gumu kulielewa maana tunaishi katika kipindi cha muda. [saa]

Sisi ni wa fungwa wa muda muda tuliozaliwa ulidukuliwa, kuna muda amabao tutakufa, kila tunachokifanya katika maisha haya, kuanzia mwanzo hadi mwisho vinapimwa katika muda—

Miaka, siku, saa, na dakika, muda wote tuakuwa na hisia ya muda, na ndio maana ni vigumu kwetu kuelewa umilele.

3. Soma maandiko haya na elezea ukweli uliomo humo kwa maneno yako mwenyewe.

Zaburi 102:12, 25-27

MUngu hana muda hakuwahi kuwa na mwanzo na hata wahi kuwa na mwisho, anaishi katika umilele, hii ni njia nyingine ya kuelezea kuwa anaishi katika kipindi kisicho na muda.

Tunaishi katika tensi tatu, wakati uliopo, uliopita na ujao, tumeishi wakati uliopita, tunaishi katika wakati uliopo, na tutaishi katika wakati ujao, yeye anaishi katika wakati huu usio na mwisho.

Ni Mungu mmoja pekee

4. Soma vifungu vifungu vifuatavyo na ujuibu maswari. Je unaamini ya kwamba kuna Mungu mmoja? Toa sababu ya majibu yako.

Isaya 44:6
Isaya 45:5 3

Je Biblia inasema ukweri?
Baadhi ya vitabu viliandikwa na manabii, hawa ni watu walioongea neneo la Mungu kwa watu, walitabiri mambo ya nyakati zijazo kabla hayajatukia.

Lengo la unabii ni kutufahamisha kuwa Mungu yupo na ana mipango na dunia hii na kila mmoja wetu, kwa kutoa unabii juu ya watu, maeneo, na matukio miaka mamia kabla hayajatukia, Mungu anatupa ufahamu wa mipango yake na nini kitakacho tokea hapo baadae,labla tukio la ule unabii kutumia lina msingi mkubwa sana katika mjadala mzima wa unabii.

5. Tunaweza tuka ijaribu biblia kwa kuangalia kama unabii unatimia ama la.

Nabii Mika alitabiri kuzaliwa kwa Yesu na eneo miaka 700 kabla ya tukio.

Mika 5:2
‘’Bali wewe Bethlehem efrata
uliye mdogo kuwa miongoni mwa elfu za Yuda
kutoka kwako wewe atanitokea mmoja
atakaye kuwa mtawalakatika Israel,
ambaye yeye matokea yake yamekuwa tangu zamani za kale,
tangu milele.’’

Huu unabii ulitimia, soma Mathayo 2:4-6.
Yesu alikuwa azaliwe wapi?

Maria aliishi katika mji wa kaskazini mwa Palestina huko Nazare katika kipindi kingi cha muda wa mimba yake. Bethlehem ilikuwa upande wa kusisni mwa palestina, hata hivyo serikali ya warumi iliamulu sense ifanyike kwa ajili ya kulipa ushuru.kila mmoja alitakiuwa kurudi alikozaliwa ili asajiliwe, Yusufu na Maria walikuwa ni watu wa familia ya kifalme ya mfalme Daudi amabaye alitokea Bethlehem. [1 Samweli 16:1] Maandiko yalitimia kwa sababu Yesu alizaliwa wakati walipokuwa Bethlehem sio Nazaleti. Ni Mungu pekee ambaye angeweza kufanya mabo yote haya kwa wakati muafaka.

Ni Mungu pekee ambaye angeweza kufanya hayo.

(If you do not have a Bible, look up the verses in the Bible Verse Handbook)

Download Bible Verses Handbook

6. Daudi alizungumzia mambo mengi kuhusu kusurubiwa katika Zaburi ambayo aliandika
Miaka elfu kabla ya Kristo.

Kwa mfano Soma

Zaburi 22:18

Wanagawana nguo zangu, na vazi langu wanalipigia kura.

Tunaambiwa juu ya kutimia kwa unabii katika Yohana 19:23-24

Je wanajeshi walifanya nini?

Huu unabii ulitimia kwa wanajeshi wakirumi ambao walikuwa hawajui hata unabii wa kiyahudi.hawakuweza hata kufikilia kuwa mtu walio msurubisha yuko katika unabii.Mungu ndiye aliye sababisha huo unabii na ndiye aliwezesha huo unabii kutimia pia.

7. Andika kwa kifupi jinsi Yesu alivyosema kuhusu agano la kale. Luka 24:27,44.

8. 2 Timotheo 3:16 inazungumziaje juu ya uvuvio wa neno la Mungu
___________________________________________________________

9. Je Maelezo ya kuhusu Mungu ni—yana maanisha kitu gani tangu ulivyo anaza kujisomea haya mafunzo?
___________________________________________________________

MAOMBI
Mwenyezi Mungu nimeanza kuelewa ni u Mungu mkuu namana gani.
Nisaidie kuelewa hilo, ingawaje u mkuu kuliko uelewa wangu lakini unataka nikuelewe. Endelea kunifundisha na kunisaidia ukweli nilio usoma leo hii.
Naomba haya katika jina la Yesu.
Amen

This is a translation of Lesson #1 Students Study Book, the English version of - What is God like is available online from the Stonecroft website.

The Guide has her own Guidebook to help her lead and guide the lesson.

View Guidebook online

Download Swahili Full Guidebook

Download Swahili Lesson #1 Guidebook Introduction

Download Swahili Lesson #1 Guidebook

Download Swahili Guidebook Bible Verses Lesson#1
 
 

JE MUNGU YUKOJE?

 
 
Copyright ©  2023 www.UnitedCaribbean.com. All rights reserved. Disclaimer Click to Contact us