Project Hope     home >> stonecroft>> je mungu yokoje? >> somo 4 >> somo 5
Je Mungu yokoje? - Somo #5
Women's Empowerment  Program
Sports Bible Club
Living Water Bible Club

Nani awezaye kumjua Mungu?

Download Swahili Lesson #5 Student Studybook page 1-2

Download Swahili Lesson #5 Student Studybook page 3-4

Maombi
Mungu mwenyezi nataka kujifunza mengi kukuhusu, nisaidie kuelewa mambo amabayo nasoma, nashangazwa na ukweli wa kwamba wewe ni mkuu kuliko uumbaji wako wote, lakini hata hivyo bado tu unataka kuhusiana nami. Naomba katika jina la Yesu. Amen

Mungu hategemei kutuona tukijua kila kitu kumhusu lakini angependa kutuona tukijua ukweli huu muhimu:

• Mungu ni Roho.

• Alikuja hapa ulimwenguni na akachukua mwili wa mwanadamu kama Mungu-mtu Yesu Kristo.

• Kama mwanadamu aliishi maisha matakatifu.

• Alikufa msalabanai, akazikwa na akafufuka kutoka katika wafu.

• Baada ya ufufuo alirudi mbinguni katika mwili wa mwanadamu wa utukufu.

• Yuko pamoja nasi sasa kama Roho mtakatifu asiye onekana.

Mungu anatutambua .anatujua vizuri kuloiko mtu mwingine awaye yote, amekuwa akitujua tokea kitambo, swari ni hili-je unamjua Mungu?

(If you do not have a Bible, look up the verses in the Bible Verse Handbook)

Download Bible Verses Handbook

Kujisomea Biblia kwa Juma

Kila siku katika juma hili ujisomee mistari ifuatayo na ujimu maswari ambayo yapo katika maeneo hayo.

Yohana 14:21-23
Je Mungu atajifunua kwa nani?
__________________________________________________________________

Warumi 5:6-9
Kwanini Yesu alitufia msalabani wakati sisi ndio tulikuwa watenda dhambi?
__________________________________________________________________

1 Timotheo 2:1-6
Ni nani ambaye Krsito anataka aokolewe?
__________________________________________________________________

Yakobo 4:7-10
Ni fisa zipi zinazo hitajika ambazo zitamfanya MUngu awe karibu nasi?
__________________________________________________________________

2 Petro 3:9
Kwanini MUngu anachelewesha siku yake ya hukumu?
__________________________________________________________________

Waebrania 11:6
Unapo kuja kwa MUngu unapaswakuwa na imani ya kuamini nini?
__________________________________________________________________

Mathayo 11:27-30
Yesu anamualika nani aje kwake?
__________________________________________________________________

• Chagua andiko lolote la juma hili ambalo lina maana sana kwako katika wakati huu, tafakali juu ya ukweli huo na uuweke katika maisha yako ya kila siku.

1. Biblia inazungumziaje juu ya mtu kumjua Mungu?

Zaburi 46:10
__________________________________________________________________

Zaburi 145:18-19
__________________________________________________________________

Isaya 55:3
__________________________________________________________________

Waebrania 10:22
__________________________________________________________________

2.Yesu aliwambia wanafunzi wake namna ya kumjua Mungu,
Yohana 14:6-7. Katika maneno yako mwenyewe elezea aliwambia nini?

Mungu anajua kuwa sisi ni watenda dhambi. Anajua hatuwezi kujitenga na dhambi.
Warumi 3:20-24, inatuambia namna ya kuwa huru.

Neno kuamini maana yake ni zaidi ya kujua kuwa Yesu ni mwana wa Mungu, ambaye alikufa msalabani kwa ajili ya dhambi zetu, Kuamini maana yake ni kuwa na tumaini kwake na kutubu dhambi zako.

Kutubu maana yake nini, ni kubadirisha mwelekeo.maana yake ni kukata kona, kumfuat Yesu maana yake huwezi kufanya mambo yako mwenyewe .

Kutubu maana yake ni kumgeukia Mungu.

Je umepokea kalama ya Mungu ya wokovu?

Kama Yesu Kristo hayumo ndani yako, ongea na MUngu kwa maombi, tubu dhambi zako, Muombe kuwa akusamehe na akupe uzima wa milele.

Mungu atakusamehe maana msamaha na uzima wa milele ni vitu ambavyo Mungu angependa akupatie, huitaji kujishughulisha ili uvipate bali unapaswa kuamini tu ili upokee.

3. Soma mistari ifuatayo. Tunapaswa kufanya nini ili tupokee huu uaimza na kalama hiyo ya msamaha?

Yohana 6:29

Yohana 5:24

4. Yesu alimwambia mtu mmoja kuwa ni lazima azaliwe mara ya pili. Soma Yohana 3:1-8, Kuona kuwa Yesu alisema nini juu ya kuzaliwa mara ya pili katika familia ya kimungu.

Andika mwaka na tarehe hata ya kukisia ambayo wewe ulizaliwa baada yakumwamini Yesu na kumpokea kama mwokozi wa maisha yako.

5. Iwapo umeomba Yesu aingie moyoni mwako kuna mambo kadhaa mazuri hutendeka katika maisha yako.Orodhesha Baraka kadhaa ambazo zimetamkwa katika maandiko haya yafuatayo.

a.Yohana 3:36
____________________________________________________________________

b. Yohana 16:24
____________________________________________________________________

c. Warumi 4:7-8
____________________________________________________________________

d. Warumi 5:1
_____________________________________________________________________

e. 2 Wakorintho 5:17
_____________________________________________________________________

f. Efeso 1:13
_____________________________________________________________________

g. Waebrania 13:5
_____________________________________________________________________

6.Andika maombi yako kwa Mungu,mshukuru kwakuwa anakujua na mshukuru kwakuwa kakupa uwezo wa kuwa na uhusiano naye, Muombe ili awe na umuhimu katika amisha yako, wakati wa mafunzo utakuwa na wakati wa kuwambia wenzako hilo ombi.
______________________________________________________________________


This is a translation of Lesson #5 Students Study Book, the English version of - What is God like is available online from their website.

The Guide has her own Guidebook to help her lead and guide the lesson.

View Guidebook online

Download Swahili Lesson #5 Guidebook

Download Swahili Guidebook Bible Verses Lesson #5

 

 
 

JE MUNGU YUKOJE?

 
 
Copyright ©  2023 www.UnitedCaribbean.com. All rights reserved. Disclaimer Click to Contact us